- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Anajulikana kwa jina la Seky, alikuwa muajiriwa tanzanite one.
Kafariki leo inasemekana alikalia stuli ya kioo ikapasuka na kumjeruhi mgongoni.
==========
Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Seky) enzi za uhai wake, (RIP)..
===========
Wakati huohuo, mfalme wa mitandao yote ya jamii, W. Malecela a. K. A Le Mutuz (54), ametoa le tamkozi kuhusu kifo cha mfanyabiashara kama ifuatavyo;
Pia tujikumbushe mahusiano ya Lulu na Seky yalipoanza, habari juu ya mahusiano yao iliwekwa JF Tarehe 1/4/2014.
Lulu 'Elizabeth Michael', aingia kwenye bifu zito na Miss Tanzania 2012, baada ya kumpora bwana wake
Kafariki leo inasemekana alikalia stuli ya kioo ikapasuka na kumjeruhi mgongoni.
==========
Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Seky) enzi za uhai wake, (RIP)..
===========
Wakati huohuo, mfalme wa mitandao yote ya jamii, W. Malecela a. K. A Le Mutuz (54), ametoa le tamkozi kuhusu kifo cha mfanyabiashara kama ifuatavyo;
Pia tujikumbushe mahusiano ya Lulu na Seky yalipoanza, habari juu ya mahusiano yao iliwekwa JF Tarehe 1/4/2014.
Lulu 'Elizabeth Michael', aingia kwenye bifu zito na Miss Tanzania 2012, baada ya kumpora bwana wake