P PamojaForumsPamojaForums is verified member. Administrator Staff member Joined Mar 14, 2026 Messages 33,422 Sep 6, 2026 #1 Wadau naombeni msaada nafikiria kuanzisha agrovet amboni tanga kuna wakulima wa mboga na wafugaji wa ng'ombe naombeni mchanganuo wa mtaji na essential vibali ambavyo lazma niwe navyo mwenye idea naomba msaada
Wadau naombeni msaada nafikiria kuanzisha agrovet amboni tanga kuna wakulima wa mboga na wafugaji wa ng'ombe naombeni mchanganuo wa mtaji na essential vibali ambavyo lazma niwe navyo mwenye idea naomba msaada