Biashara ya kuuza gesi za kupikia

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wadau kwema?


Naomba msaada kwa mwenye kufahamu biashara ya kuuza gesi za kupikia.


Je, mtaji wake nikiweka kama 500, 000/= Tsh unatosha?


Je, vibali vya kufanyia hiyo bishara vimekaaje?


Naomba msaada wadau wenye uelewa.


 
 
Back
Top Bottom